verbatim report of - ConstitutionNet
verbatim report of - ConstitutionNet verbatim report of - ConstitutionNet
Jambo la pili tena linahusu sheria. Pia iwe ina-defend makanisa. Serikali haichukui jukumu sana ku-defend makanisa. Watu wakiingilia makanisa, hatuoni kama serikali inachukua jukumu kama vile serikali ilisema kanisa ni kama serikali na ikifikia kwa kiwango kanisa iko na taabu, huwezi kupata serikali inasaidia kujua hii inafanyika kwa ukweli wa kusaidia kanisa. Kwa sababu kanisa ndio serikali na ingefaa sasa in the next Government, kanisa iwe inapewa kiti cha ubunge kwa Parliament. Makanisa nayo yawe na representative kwa Parliament ili wakipewa kitu kwa serikali ama ministry, makanisa nayo yawe yanapewa kitu. Isiwe makanisa ywe yanabaki hivyo tu, yanaji-defend pekee na serikali inapata, ministries zina pata pesa, zina pata magari na vitu kama hivyo. Na kanisa inachukua jukumu kubwa kusaidia serikali kuleta peace in the government. Sasa ingefaa serikali ipatie makanisa representative wao Parliament. Asante sana Com. Nunow: Thank you very much Jairus and that brings us to the end of the session. Kwa niaba ya wenzangu na Tume nzima ya Kurekebisha Katiba, ningependa kuwarudishieni shukrani nyote ambao walitoa maoni yao leo na zaidi wale walipanga sherehe hii na wakaifanya iwe imefaulu sanasana wanakamati na wale wametupa nafasi hapa yaani kanisa hii. Twashukuru nyote. Na sasa baada ya hayo, jukumu ni letu kuandika sasa haya maoni na kuwarudishieni baada ya kuandika report ili muweze kuangalia na muone kama yale mumusema yametiliwa maanani ama ilikuwa tu kusema. Tutahakikisha hiyo report imerudi kwenu na mkiona jambo lolote limekosa kwa hiyo report, mtaipeana tena mara ya pili kule Kakamega na hiyo report mtakuwa nayo kwa mda wa miezi miwili nzima ili kila mtu aweze kuiona na kuchukua copy mingi sana kama ile booklet ndogo. Kwa hiyo kwa wakati huu nitamuliza chairperson wa 3Cs atuongoze katika kufunga kikao pengine amwalike Reverend ili atufungie. Doris Orison: Asante sana, ningependa kusema we really (in Luhya) Ningependa kuwarudishia shukrani wale Commissioners tulikuwa nao na hawa secretariat tumekuwa nao mpaka saa hii. Asante sana kwa uvumilivu wenu, kuvumilia na kukaa nasi mpaka wakati huu tumemaliza shughuli zetu. Sasa nitamwalika (Interjection) Oh, asante sana tena kwa Bishop vile alituruhusu kutumia hapa mahali, tumesema asante sana, tumeshukuru kwa yote umetufanyia. Nitamwalika sasa Reverend atufungie mkutano. Rev. Patrick Maina: Tuombe; Mungu tunakushukuru kwa sababu wewe ni Mungu na unatujua kuliko mawazo yetu wenyewe, asante kwa shughuli ambayo imeendelea hapa ya kukusanya maoni ya kusaidia utawala na uongozi wa taifa letu la Kenya. Asante kwa wote ambao wamejitoa muhanga kwa kufika na yale maoni wamependekeza. Bwana tunaomba uyashirikishe kwa maoni ya watu wengine katika taifa nzima na tupate Katiba ambayo itatusaidia kwendeleza kizazi hiki na vizazi vingine vijazo chini ya muongozo wa Katiba hii ambayo tunaiandaa. Asante kwa hawa viongozi wa Tume ambao walifika hapa kwa siku ya leo, tunajua watatoka hapa wakisafiri kwa magari na kwa njia zingine kurudi mahali pao kwenda kutafuta kupumzika. Naomba usafiri mwema na sisi wengine. Bwana tunakuomba utusafirishe na kuturudisha kwetu kwa usalama wako. Naomba hayo kwa jina la Yesu Kristo aliye Bwana mwokozi wetu. Amen. 84
The meeting ended at 5.20 pm. &&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&& 85
- Page 33 and 34: effect us, thank you. Com. Nunow: O
- Page 35 and 36: Pombe kama ni kupigwa marafuku pomb
- Page 37 and 38: Rev. Patrick Maina: Thank you Commi
- Page 39 and 40: women , the disabled and the minori
- Page 41 and 42: Political parties. Now, there shoul
- Page 43 and 44: General has always come up with a r
- Page 45 and 46: Then issuance of Identification car
- Page 47 and 48: Vile vile wizara kama ya vijana ita
- Page 49 and 50: However, necessary amendments that
- Page 51 and 52: lawyer, practises law and being a M
- Page 53 and 54: Although we have condemned 8-4-4, I
- Page 55 and 56: tuseme 7-6 nini, kuwe na elimu madh
- Page 57 and 58: Computer technology should be devel
- Page 59 and 60: Haya, sasa tuangalie haki ya watoto
- Page 61 and 62: ya kusema Commission iongezwe muda,
- Page 63 and 64: Joseph Otabile: Asante sana mimi ni
- Page 65 and 66: their constituents. Secondly, I wil
- Page 67 and 68: anasimamia. Pombe hiyo ya zamani si
- Page 69 and 70: and disorder, debt cases, marital m
- Page 71 and 72: Retirees from the civil service sho
- Page 73 and 74: the load of subjects should be redu
- Page 75 and 76: Edward Aringo: Hiyo ya mwisho. Asan
- Page 77 and 78: Com. Nunow: Serikali itaweza asante
- Page 79 and 80: day's time. Thank you very much. Co
- Page 81 and 82: anking ones. Kwa mfano wakitaka ku-
- Page 83: There are disadvantaged groups, put
Jambo la pili tena linahusu sheria. Pia iwe ina-defend makanisa. Serikali haichukui jukumu sana ku-defend makanisa. Watu<br />
wakiingilia makanisa, hatuoni kama serikali inachukua jukumu kama vile serikali ilisema kanisa ni kama serikali na ikifikia kwa<br />
kiwango kanisa iko na taabu, huwezi kupata serikali inasaidia kujua hii inafanyika kwa ukweli wa kusaidia kanisa. Kwa sababu<br />
kanisa ndio serikali na ingefaa sasa in the next Government, kanisa iwe inapewa kiti cha ubunge kwa Parliament. Makanisa<br />
nayo yawe na representative kwa Parliament ili wakipewa kitu kwa serikali ama ministry, makanisa nayo yawe yanapewa kitu.<br />
Isiwe makanisa ywe yanabaki hivyo tu, yanaji-defend pekee na serikali inapata, ministries zina pata pesa, zina pata magari na<br />
vitu kama hivyo. Na kanisa inachukua jukumu kubwa kusaidia serikali kuleta peace in the government. Sasa ingefaa serikali<br />
ipatie makanisa representative wao Parliament. Asante sana<br />
Com. Nunow: Thank you very much Jairus and that brings us to the end <strong>of</strong> the session. Kwa niaba ya wenzangu na Tume<br />
nzima ya Kurekebisha Katiba, ningependa kuwarudishieni shukrani nyote ambao walitoa maoni yao leo na zaidi wale walipanga<br />
sherehe hii na wakaifanya iwe imefaulu sanasana wanakamati na wale wametupa nafasi hapa yaani kanisa hii. Twashukuru<br />
nyote. Na sasa baada ya hayo, jukumu ni letu kuandika sasa haya maoni na kuwarudishieni baada ya kuandika <strong>report</strong> ili<br />
muweze kuangalia na muone kama yale mumusema yametiliwa maanani ama ilikuwa tu kusema. Tutahakikisha hiyo <strong>report</strong><br />
imerudi kwenu na mkiona jambo lolote limekosa kwa hiyo <strong>report</strong>, mtaipeana tena mara ya pili kule Kakamega na hiyo <strong>report</strong><br />
mtakuwa nayo kwa mda wa miezi miwili nzima ili kila mtu aweze kuiona na kuchukua copy mingi sana kama ile booklet ndogo.<br />
Kwa hiyo kwa wakati huu nitamuliza chairperson wa 3Cs atuongoze katika kufunga kikao pengine amwalike Reverend ili<br />
atufungie.<br />
Doris Orison: Asante sana, ningependa kusema we really (in Luhya) Ningependa kuwarudishia shukrani wale Commissioners<br />
tulikuwa nao na hawa secretariat tumekuwa nao mpaka saa hii. Asante sana kwa uvumilivu wenu, kuvumilia na kukaa nasi<br />
mpaka wakati huu tumemaliza shughuli zetu. Sasa nitamwalika (Interjection) Oh, asante sana tena kwa Bishop vile alituruhusu<br />
kutumia hapa mahali, tumesema asante sana, tumeshukuru kwa yote umetufanyia. Nitamwalika sasa Reverend atufungie<br />
mkutano.<br />
Rev. Patrick Maina: Tuombe; Mungu tunakushukuru kwa sababu wewe ni Mungu na unatujua kuliko mawazo yetu<br />
wenyewe, asante kwa shughuli ambayo imeendelea hapa ya kukusanya maoni ya kusaidia utawala na uongozi wa taifa letu la<br />
Kenya. Asante kwa wote ambao wamejitoa muhanga kwa kufika na yale maoni wamependekeza. Bwana tunaomba<br />
uyashirikishe kwa maoni ya watu wengine katika taifa nzima na tupate Katiba ambayo itatusaidia kwendeleza kizazi hiki na<br />
vizazi vingine vijazo chini ya muongozo wa Katiba hii ambayo tunaiandaa. Asante kwa hawa viongozi wa Tume ambao walifika<br />
hapa kwa siku ya leo, tunajua watatoka hapa wakisafiri kwa magari na kwa njia zingine kurudi mahali pao kwenda kutafuta<br />
kupumzika. Naomba usafiri mwema na sisi wengine. Bwana tunakuomba utusafirishe na kuturudisha kwetu kwa usalama wako.<br />
Naomba hayo kwa jina la Yesu Kristo aliye Bwana mwokozi wetu. Amen.<br />
84