09.03.2013 Views

verbatim report of - ConstitutionNet

verbatim report of - ConstitutionNet

verbatim report of - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Edward Aringo: Hiyo ya mwisho. Asante, ilikuwa iko ingine lakini saa inakimbia. Naona katika market, mtu akipeleka kitu<br />

katika kikapu, wanamlipisha kodi, kama ya yule analeta gunia mzima. Ikichelewa kuuzwa, tena ikirudi, tena bado wanatoa<br />

gharama kwa kile kitu kimoja. Na hiyo inaonyesha ni unyang'anyi, hapana kusaidia. Na mzee alisema siku ile Kenya ilipata<br />

uhuru, sisi sasa tuko uhuru, tuko uhuru hakuna kunyanyaswa. Na bado wanarudia neno walikuwa wanasema wabeberu ni<br />

wabaya, wananyanyasa watu. Ningesema mengi lakina asante sana Commissioners. Wacha nifike hapo maana watu<br />

wanasema kila aina ya maneno.<br />

Com. Nunow: Asante sana Mzee Ariwo. Tafadhali njoo ujiandikishe. (Interjection) Kuna nini? Sijakuita nauliza kuna<br />

nini? Umejiandikisha? Subiri uitwe jina lako. Jacob Oliko? Unaitwa nani? Richard Nyang’awa. Wewe subiri, iko mtu<br />

mwingine, huyu mzee, Wewe ni wa tatu kutoka huyu mzee.<br />

Jacob Oliko: Asante. Majina ni Jacob Oliko kutoka Luanda. Nina mambo mawili tu ya kusema. Ya kwanza, the new<br />

Constitution should criminalize calculated and deliberate wastage <strong>of</strong> time and resources. This is happening all over but I will<br />

give two instances from the <strong>of</strong>fice <strong>of</strong> the president. Jogoo house has the Office <strong>of</strong> the President. When he finishes his term, he<br />

should have been sitting in that <strong>of</strong>fice for 43,700 hours. This is like saying 52 weeks, an average <strong>of</strong> 5 hours per week for 24<br />

years. That gives 43 700 hours. But from the way things have been happening, it is easy to see that hardly 17500 hours has he<br />

sat in that <strong>of</strong>fice. Which means the keepers <strong>of</strong> this <strong>of</strong>fice have been paid for work they have not done. In other words taking<br />

care <strong>of</strong> the President and giving him service. That is an example <strong>of</strong> wastage <strong>of</strong> resource. Another example, 3 rallies per week<br />

attended by 30 000 people who will be waiting for the arrival and the carrying out <strong>of</strong> these meetings for 8 hours in a year. This<br />

translates into 38 million man hours where people do nothing productive. This has really contributed over the years to the<br />

downward movement <strong>of</strong> all production and therefore many things being affected and failing. That is number one.<br />

The other thing, that I will say in Kiswahili because in Kiswahili it might sound better, mke kuolewa na bwana kuoa, jinsi ilivyo<br />

sasa, mimi ningependa katika Katiba mpya, iwe pia neno kwamba mke pia anaweza kuoa bwana. Na hiyo itawapa sasa<br />

complete equality katika mazingara yetu ya Kenya, na hiyo pia inamaanisha ikiwa mke ataoa bwana basi pia itabidi atoe mahari<br />

amuoe huyo bwana. Na ikiwa mwanamume atamuoa mke, basi itabidi yule mwanaume atoe mahari. Kwa hivyo there will be<br />

equality kabisa – complete equality between man and woman in this country.<br />

Com. Nunow: Thank you very much mzee. Hiyo equality sijui kama itakuwa lakini tutaangalia, tutangoja wasichana waanze<br />

kupeleka dowry kwa wazazi. Christopher Obunyasi? Haya, Richard kuja.<br />

Richard Ogweli Nyang’awa: Mimi ni Richard Ogweli Nyang’awa. Mimi naonelea hii dunia ni yetu. Hatukuja hapa kufanya<br />

siasa. Tumekuja kila mtu atoe maoni yake vile anasikia kwa roho yake. Mtu atoe maoni yake vile anasikia kwa roho yake.<br />

75

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!