09.03.2013 Views

verbatim report of - ConstitutionNet

verbatim report of - ConstitutionNet

verbatim report of - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

vizuri hizi harambees zitolewe kwa sababu hii itafanya nchi ikuwe na too much corruption kwa sababu pesa zinatolewa kwa<br />

treasury, zinakuja zinafanyiwa harambee, halafu serikali inabakia bankrupt, bila chochote na mwananchi wa kawaida anaumia<br />

sana.<br />

Na mwisho, ningelisema hivi, kwa sababu ya majimbo, ningelisema iweko kwa shauri hii. Pesa zikigawanywa kwa<br />

development, ziwe zikigawanywa kila province kulingana na population ya hapo mahali. Kwa sababu hauwezi ukagawa mtu<br />

ambaye amezaa watoto wawili na mtu ambaye amezaa zaidi ya watoto kumi gunia moja ya mahindi, hiyo itakuwa inasumbuwa<br />

sana. Inatakikana mtu agawiwe kulingana na population vile ilivyo.<br />

Pia, njia ziko mbaya sana upande huu, ama katika sehemu zingine za Kenya kwa sababu utapata kama hapa Bunyore, watu<br />

wanazingatia sana kilimo kidogo kidogo hiki cha kupanda mboga. Lakini utapa mboga zao zina haribikia kwa mashamba,<br />

hakuna mahali zinaenda na hiyo inatokana kwa njia mbaya, no transport. Nafikiri ni hayo nilikuwa nayo, asanteni.<br />

Com. Nunow: Asante sana Silas, tafadhali jiandikishe pale. Patrick Auto? Patrick Auto? Dakika tano.<br />

Patrick Auto: I am Patrick Auto as you have heard. The first point is that we should have only two political parties. We<br />

should not exceed two for convenience <strong>of</strong> the general public during elections. Then civic education should be a continous<br />

process so that both primary pupils and secondary students are taught. Then the Constitution should be presented in a simple<br />

language whereby every mwananchi can be able to understand. The same Constitution should be accessible to everybody so<br />

that any manipulations that are done by Parliamentarians can be realized quickly.<br />

Number three, MPs should be having sitting <strong>of</strong>fices and they should be approachable. We don’t want people to come and<br />

deceive us when elections are approaching so that they give us something small to vote for them. Instead, when they are free<br />

they should be in their <strong>of</strong>fices and we approach them so that they give us the democratic principles and speeches concerning the<br />

leadership.<br />

Four, we should have a House <strong>of</strong> Representatives whereby every interest group in the society should send a particular<br />

representative. For example, teachers should send one person, boda boda, children should have a representative, every interest<br />

group. Then we should have a ceremonial President and have a Prime Minister whereby if a President is messing up, the<br />

ministers can check or if the Prime Minister is in a mess, the President can check. That means the powers <strong>of</strong> the President<br />

should be reduced.<br />

Next one, a ministry should be created and that is the Ministry <strong>of</strong> Justice and the issue <strong>of</strong> the Attorney General should be<br />

abolished. We should have separation <strong>of</strong> duties and powers whereby the 3 arms <strong>of</strong> government should be separate; that is<br />

Legislature and others. Then concerning education, specialization should begin at class 4 whereby when a pupil reaches class 4,<br />

72

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!