verbatim report of - ConstitutionNet
verbatim report of - ConstitutionNet
verbatim report of - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Jambo lingine, ningependa kusema tusije kusema marufuku marufuku mara kwa mara na hata hawa wanaelewa hiyo marufuku<br />
haiwezi kuisha. Iko. Tunalipa hata mara mbili, ile pesa ilikuwa inaenda kotini siku hizi haiendi. Inapotea kwa barabara kwa<br />
ma<strong>of</strong>isa wetu, wanakula mshahara. Kwa hivyo wanalipwa na wananchi n a pia wanalipwa na Serikali. Wanakula mshahara<br />
mara mbili. Ni umaskini jinsi tunaona tunaletewa na ma<strong>of</strong>isa wetu wa Serikali. Jambo ambalo linawezekana, <strong>of</strong>isa akutumikie,<br />
anataka pesa. Hata ma-assistant chief humo mjini, machief ni jambo ambao wanafaa watutumikie kwa bure, wanakuomba<br />
pesa. Sasa nashindwa, kama hatuna pesa ya kwenda ku-<strong>report</strong> shida zetu kwa ma<strong>of</strong>isa wetu, tutakuwa tunafanya namna gani?<br />
Hilo jambo linapaswa lifikiriwe, kwa mfano hii pombe ambayo mnasikia busaa. Mimi naonelea kwamba iwe huru na ikiwa huru<br />
tuwekewe saa baada ya kazi kwa vile mnavyojua brewers wamepandisha ma-beer. Iko hali ya juu na wengine hawawezi<br />
kuenda kukunywa hiyo beer. Nafikiri hapo tutapata kukuwa rafiki na Serikali na ma<strong>of</strong>isa halafu tutapata kutafuta wahalifu. Mimi<br />
nilionelea hilo neno la kanyaga huende likawa lilikuwa nzuri ingawa lilikataliwa, hilo jambo limesaidia kupunguza uhalifu<br />
sana. Na kwa ajili uhalifu umejaa, umejaa kulingana kwa kufunga hivi vitu vyote ati kwamba ni marufuku. Inapasa tuangalie kitu<br />
kama bangi ifungwi, chang’aa ifungwe madawa ya kulevya ifungwe lakini pombe, hata utamaduni mwingi umeanza<br />
kupotea mjini kwa ajili ya kufunga vitu vyote. Tunadanganywa ni marufuku huko wako waziwazi hata hiyo pesa haifiki kwa<br />
court. Nafikiri hapo jambo lifikiriwe sana.<br />
Kwa upande ya ma<strong>of</strong>isa, sana AP, police, chiefs, wachunguzwe jinsi wanaendelea na wananchi. Uongozi wa mtu unaweza<br />
kuwa mzuri na wenye kuharibu ni wengi. Kwa hivyo tunapaswa tuangalie hapo. Hatutaki kulaumiana na ma<strong>of</strong>isa. Tunataka tuwe<br />
marafiki wa ma<strong>of</strong>isa na ma<strong>of</strong>isa pia wawe marafiki zetu ili tupate kujenga nchi yetu. Nafikiri sina mengi, ni hayo tu. Asanteni.<br />
Com. Nunow: Asante. Justus, Justus Elenye?<br />
Justus Elenye: OK. Thank you Commissioners for coming to Emuhaya. My first suggestion is... My name is Justus Elenye.<br />
My first suggestion to you is that in future, chiefs, assistant chiefs, should be elected by the people but not D.Cs.<br />
The other thing is that, if any Member <strong>of</strong> Parliament or a councillor defects from one party to another, he should ceise being<br />
Member <strong>of</strong> Parliament or a councillor from that time <strong>of</strong> defection and then he should go back to the voters for by-election.<br />
The other point is that, any person to qualify, any person to qualify to be elected as a Member <strong>of</strong> Parliament <strong>of</strong> a constituency,<br />
he should be somebody who should not have two homes. He should be stationed at that particular constituency.<br />
The other thing is that, local governments have had financial problems. Therefore, in future, councillors should be paid from a<br />
vote, from a particular vote like Members <strong>of</strong> Parliament and then they should qualify for pension if they have been there for two<br />
terms.<br />
70