verbatim report of - ConstitutionNet
verbatim report of - ConstitutionNet
verbatim report of - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
anasimamia. Pombe hiyo ya zamani sio kama chang’aa na mwenye kutoka kwa shule hakut<strong>of</strong>autisha pombe gani mbaya na gani<br />
mzuri. Wote wanachukua jina tu moja, pombe. Na pombe hiyo ya wazee haikuwa na madhara na leo inaingiliwa na mtoto<br />
ambaye hajaowa, anaingia kwa pombe. Akishakunywa pombe na njaa, anakwenda kufanya mambo mbaya. Halafu mtu<br />
aliyeelimika ndiye anatafuta aende kwa pombe. Lakini hayo yote anafanana na mtoto wa shule tena na ni mtu mkubwa<br />
mlimteuwa aende kule maana hajui pombe hii iko mara ngapi; hii mbaya na hii nuzuri, ya wazee iko wapi?<br />
Pombe ya wazee iwachiwe wazee. Maana yake hiyo ndiyo inaleta business ya corruption. Pale polisi wanakula hapo, assistant<br />
chief anakula hapo, likuru anakula hapo. Sasa yule analaumiwa tu, na kumbe mwenye chang’aa anajuana nao huko. Kitu<br />
ambacho kinaharibu Kenya nzima ni ufisadi. Tunaweza kufanya aje ukamalizika? mpaka Katiba ya kesho iwe nzuri maana<br />
huwezi kuwa mnyang’anyi na ukaunda Katiba. Hapana.<br />
Sisi, mimi namna hii nilizaliwa 1913 ikimalizika lakini kwa kitambulisho ni 1914. Na nikuambia maneno nawe unatoka kwa<br />
masomo unasema, "ah! ya mzee ilikwisha" Kama ilikwisha, na wewe mwerevu, kwa nini unaoa unakwenda kuuishi kwa boma<br />
ingine kando ya pale ulioa na huko ni ukoo unaogopewa. Sasa ukifariki huko, utazikwa huko ama hapana? Hilo ni neno mbaya<br />
sana mtu kwenda kuishi kule alikooa na anasahau mamake, anasahau babake na watoto, ndugu zake hawasomi. Na ana pesa,<br />
ana motokaa na kila kitu. Na hiyo, anajuana na watu wakubwa wakubwa. Kwanza, mimea itoke chini ikiwa na foundation<br />
nzuri. Lakini ukiwa mjumbe halafu unadharau kwenu, sasa utakuwa mzuri huko? Katiba iangalie.<br />
Nikiingilia pande mwingine, mimi ni mwimbaji wa Kenya. Pia ndani ya redio, ndani ya nyumba, mimi ndio niliokataza kila siku<br />
Kariobangi. Asante. Nitaimba kidogo. Shika hii, mambo iko mbaya. Nilidanganywa, hii ni certificate, siwezi kugawia watoto<br />
wangu certificate. Na pesa yote wanakula, wanamaliza. Mimi ndio niliwaambia nitaimba yote. Lakini, Kenya yetu, ukiimba<br />
wimbo unatunga lakini copyright inamaliza wewe.<br />
Song; Kila siku, kila siku Kariobangi tu. Ukikutana na mrembo, mrembo anaruka juu ukimuuliza yuaenda wapi mama?<br />
Kariobangi. Mambo ya Kariobangi namshinda kila mtu lakini leo, lakini leo je? Wazee wa siku hizi wanageuza sura tena ati<br />
aende Kariobangi. Haya ndiyo Kariobangi na yeye hajazeeka aende Kariobangi tu. Mambo yananishinda. Eti sikiliza kidogo<br />
hapo na kumbe ni pombe chang’aa. Na pombe ni chang’aa tu na mwenye pombe anakupa onyo, nakupa onyo na ulinunua tu.<br />
Nakupa onyo tu na unywe chonjo chonjo aaah! Eti nikunywe chonjo na ulinunua. Na mwenye nyumba anataka kodi,<br />
alikudanganya unywe chonjo chonjo maana yake wanajuana na polisi kweli wanaungana. Wewe ndio utabeba debe kwenda<br />
kotini for corruption eti unywe chonjo chonjo, na mwenye nyumba nataka kodi, anakudanganya. Ooh! Saa ingine, ni hasara<br />
ngapi ulipata mchana moja? kumbuka na kumbe ni pombe chang’aa. Sasa mnapata busaa na chang’aa ndio chanzo cha maovu.<br />
Tena, corruption ilitokana kwa ndani ya chang’aa. Haikutoka kwa busaa. Haya. Nisimamie hapo nimalize maneno. Iko kitu<br />
moja sasa ni (Inaudible) nitabariki bila chochote na afadhali tulikuwa na Moi kwa siasa anajua pote, anamulika pale ndogo<br />
67