09.03.2013 Views

verbatim report of - ConstitutionNet

verbatim report of - ConstitutionNet

verbatim report of - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

anasimamia. Pombe hiyo ya zamani sio kama chang’aa na mwenye kutoka kwa shule hakut<strong>of</strong>autisha pombe gani mbaya na gani<br />

mzuri. Wote wanachukua jina tu moja, pombe. Na pombe hiyo ya wazee haikuwa na madhara na leo inaingiliwa na mtoto<br />

ambaye hajaowa, anaingia kwa pombe. Akishakunywa pombe na njaa, anakwenda kufanya mambo mbaya. Halafu mtu<br />

aliyeelimika ndiye anatafuta aende kwa pombe. Lakini hayo yote anafanana na mtoto wa shule tena na ni mtu mkubwa<br />

mlimteuwa aende kule maana hajui pombe hii iko mara ngapi; hii mbaya na hii nuzuri, ya wazee iko wapi?<br />

Pombe ya wazee iwachiwe wazee. Maana yake hiyo ndiyo inaleta business ya corruption. Pale polisi wanakula hapo, assistant<br />

chief anakula hapo, likuru anakula hapo. Sasa yule analaumiwa tu, na kumbe mwenye chang’aa anajuana nao huko. Kitu<br />

ambacho kinaharibu Kenya nzima ni ufisadi. Tunaweza kufanya aje ukamalizika? mpaka Katiba ya kesho iwe nzuri maana<br />

huwezi kuwa mnyang’anyi na ukaunda Katiba. Hapana.<br />

Sisi, mimi namna hii nilizaliwa 1913 ikimalizika lakini kwa kitambulisho ni 1914. Na nikuambia maneno nawe unatoka kwa<br />

masomo unasema, "ah! ya mzee ilikwisha" Kama ilikwisha, na wewe mwerevu, kwa nini unaoa unakwenda kuuishi kwa boma<br />

ingine kando ya pale ulioa na huko ni ukoo unaogopewa. Sasa ukifariki huko, utazikwa huko ama hapana? Hilo ni neno mbaya<br />

sana mtu kwenda kuishi kule alikooa na anasahau mamake, anasahau babake na watoto, ndugu zake hawasomi. Na ana pesa,<br />

ana motokaa na kila kitu. Na hiyo, anajuana na watu wakubwa wakubwa. Kwanza, mimea itoke chini ikiwa na foundation<br />

nzuri. Lakini ukiwa mjumbe halafu unadharau kwenu, sasa utakuwa mzuri huko? Katiba iangalie.<br />

Nikiingilia pande mwingine, mimi ni mwimbaji wa Kenya. Pia ndani ya redio, ndani ya nyumba, mimi ndio niliokataza kila siku<br />

Kariobangi. Asante. Nitaimba kidogo. Shika hii, mambo iko mbaya. Nilidanganywa, hii ni certificate, siwezi kugawia watoto<br />

wangu certificate. Na pesa yote wanakula, wanamaliza. Mimi ndio niliwaambia nitaimba yote. Lakini, Kenya yetu, ukiimba<br />

wimbo unatunga lakini copyright inamaliza wewe.<br />

Song; Kila siku, kila siku Kariobangi tu. Ukikutana na mrembo, mrembo anaruka juu ukimuuliza yuaenda wapi mama?<br />

Kariobangi. Mambo ya Kariobangi namshinda kila mtu lakini leo, lakini leo je? Wazee wa siku hizi wanageuza sura tena ati<br />

aende Kariobangi. Haya ndiyo Kariobangi na yeye hajazeeka aende Kariobangi tu. Mambo yananishinda. Eti sikiliza kidogo<br />

hapo na kumbe ni pombe chang’aa. Na pombe ni chang’aa tu na mwenye pombe anakupa onyo, nakupa onyo na ulinunua tu.<br />

Nakupa onyo tu na unywe chonjo chonjo aaah! Eti nikunywe chonjo na ulinunua. Na mwenye nyumba anataka kodi,<br />

alikudanganya unywe chonjo chonjo maana yake wanajuana na polisi kweli wanaungana. Wewe ndio utabeba debe kwenda<br />

kotini for corruption eti unywe chonjo chonjo, na mwenye nyumba nataka kodi, anakudanganya. Ooh! Saa ingine, ni hasara<br />

ngapi ulipata mchana moja? kumbuka na kumbe ni pombe chang’aa. Sasa mnapata busaa na chang’aa ndio chanzo cha maovu.<br />

Tena, corruption ilitokana kwa ndani ya chang’aa. Haikutoka kwa busaa. Haya. Nisimamie hapo nimalize maneno. Iko kitu<br />

moja sasa ni (Inaudible) nitabariki bila chochote na afadhali tulikuwa na Moi kwa siasa anajua pote, anamulika pale ndogo<br />

67

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!