09.03.2013 Views

verbatim report of - ConstitutionNet

verbatim report of - ConstitutionNet

verbatim report of - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ya kusema Commission iongezwe muda, ifanywe nini, ni pesa ambazo watu wananung'unikia si ati maneno mengine.<br />

Tukikuja upande wa security, tunataka security ianzie nyumbani kwa sababu tuna insecurity ambapo watu wengine<br />

wananyanyasa watu sana. Hawa hawaangalie masilahi ya watu, wanataka kitu kidogo vile watu wamesema. Na hiyo sio vizuri.<br />

Tukiingia upande wa security ya kazi, kazi zingine ziko na appointment, yaani zingine ziko zina-appoint-iwa na President. Na<br />

hizo appointments ziko-carried along a tribal basis. Kwa sababu tukiangalia hata chairmen <strong>of</strong> parastatals, tukiangalia kama<br />

managing directors, utakuta ni watu wa family fulani or wanatoka mahali fulani.<br />

President's powers ziwe reduced because ukiangalia hata D.Cs, tumefanya statistics na tunaona DCs wengi wanatoka sehemu<br />

fulani. Kwa kivyo tunataka pale parekebishwe na we distribute these positions to all tribes equally.<br />

Tukiingia upande wa… tuseme sasa tunataka kupatia watu freedom. Watu wanyanyase watu kwa sababu (?) wanakunywa<br />

pombe. Pombe, yes, iko lakini sasa kuna traditional beer. Tuko na pombe ambayo ni ya traditional, hiyo pombe inatakikana<br />

iwe allowed or tuseme, tradition za watu, hata nyinyi mko na tradition zenu. Mtu akija kupinga hizo tradition zenu mnakataa.<br />

Kwa hivyo hiyo tradition tunataka iendelee. Please you note that one, hiyo tradition iendelee.<br />

Com. Nunow: Umemaliza?<br />

Athur Okwemba: Sijamaliza bado. Kwa hivyo… unajua nilikuwa nataka mchukue hiyo note kwa sababu mnajua vitu vingine.<br />

Com. Nunow: (Inaudible.)<br />

Arthur Okwemba: Sawa. Kwa hivyo, hiyo mambo ambayo tunasema please tunataka mtengeneze hiyo mambo tena mfanye<br />

haraka imalizike. Kwa sababu serikali yetu ambayo inakuja, tuko na multi party, na hii multi party tuna KANU, tuna Ford,<br />

tunataka security iwe inapeanwa kwa kila party. We don’t want to cover only one party kama Kanu inaji- cover yenyewe.<br />

Nataka tu- cover kama ni Ford Kenya Ford People, tunataka hizo zote ziwe zinapewa security kwa sababu secutity inapeanwa<br />

kwa njia ambayo sijui ni njia gani. Kwa hivyo hayo ni machache kwa sababu tunataka tufanye kazi ingine na wengine wanataka<br />

kusema mambo yao, please m-note hiyo na tuwe tutaona matokeo, nimeshamaliza.<br />

Come. Nunow: Asante sana, hatuna maswali Bwana Okwemba tafadhali ujiandikishe pale. Stanley Busili.<br />

Stanley Busili: Kwa jina ni Stanley Busili Maboya. Mimi ningependa kuguzia kidogo kuhusu local government.<br />

Local government should have it's finance distributed to local authorities so that it can assist them in payment <strong>of</strong> their workers<br />

and councilors. Councilors' allowances to be paid right from the treasury because the revenue the councils collect is very<br />

minimal. Though they are also paid very little, with a lot <strong>of</strong> work.<br />

61

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!