09.03.2013 Views

verbatim report of - ConstitutionNet

verbatim report of - ConstitutionNet

verbatim report of - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Com. Mutakha Kangu: Asante Bwana Pastor Ayonga.<br />

nikamwambia<br />

(Kiluhya dialect) Mimi naitwa Mutakha Kangu, nimekuwa hapa siku ingine tukizungumza na nyinyi, na<br />

(Kiluhya dialect). When I am teasing him as a grandfather from whom I get wisdom, I normally tell him that the<br />

Kisiis’ were looking for baridi, wakatuacha hapa wakasonga huko mbele, halafu wamefika huko wameharibu kiluhya. Badala<br />

ya kusema ‘makuru’, wanasema ‘makoro’. (?) Wanasema<br />

(?) si ni kiluhya tu wameharibu kidogo? Sasa n dio unasikia yeye akisema yeye ni Mnyore kwa sababu nimemwambia<br />

they are not Kisiis’, they are luhyas who have just spoilt Kiluhya. Asante sana. Sasa, siku ya leo ni siku yenu ya kutoa moni kwa<br />

Tume ya Kurekebisha Katiba na kama hatujaanza, tuna utaratibu tunaeleza, ndio watu waweze kujua vile mkutano<br />

unaendeshwa.<br />

Jambo la kwanza ni kwamba huu ni mkutano wa Tume ya Kurekebisha Katiba. Kiongozi wa kanisa ametukaribisha na tuko na<br />

yeye, na munaona yeye mbele yenu. Mkutano wa leo si wake ni wa kurekebisha Katiba na hata kama mkiangalia kati yenu,<br />

pengine kuna viongozi wa serikali, provincial administration, pengine ma-chief, sub-chiefs, tunasema huu ni mkutano wa Tume<br />

na kwa hivyo hata kama hao watu wa serikali wako katikati yenu, wasiwe ni watu wa kufanya wewe uwe na uoga usiseme yale<br />

unataka kusema. Tumefanya kazi na watu wa serikali ikakubalika kwamba mradi wa kurekebisha Katiba, ni mradi wa<br />

Wakenya wote, ni mradi wa serikali, na kwa hivyo watu wa provincial administration wamekuwa wakisaidiana na sisi,<br />

wanasaidia committees zetu on the ground na wamekuja hapa wakijua, hata nao wamekuja kutoa maoni yao, sio kuja kutisha<br />

wewe usitoe maoni.<br />

Kwa hivyo ujisikie uhuru. Feel very free to state your views, kwa sababu tulisema kuna shida hapa Kenya kulingana na vile<br />

tunaendesha maneno yetu, na tukaamua tutafute ni shida aina gani na tutafute suluhisho itakuwa nini na hatuwezi kufanya hivyo<br />

ikiwa wewe utakuja hapa na tena uogope kusema yale uko nayo. Hata kama unataka kusema provincial adminstration hatutaki,<br />

feel free to say that because those are your views. Hata kama unataka kusema, " ooh, makanisa yamekuwa mengi sana, don’t<br />

fear because mtu wa kanisa ako hapa. Juzi tumekuwa huko Teso na mwingine akatuambia, we seem to be investing too much in<br />

churches when people are going hungry. We need to kuchunguza haya maneno. So even if you wanted kusema hivyo, hapana<br />

ogopa kwamba kiongozi wa kanisa ako hapa mbele kwa sababu tunatafuta suluhisho ya shida ile tuko nayo. We must be able<br />

to put all our ideas together ndio tujue tutaelekea upande gani. Hata kama mwenzetu ni Pastor na unataka kumwambia," ooh,<br />

haya maneno ya kanisa hatutaki, wewe mwambie tu. Hapa leo ni Commissioner tu, yeye hapana Pastor. Hatahubiri leo. So,<br />

zungumza ukiwa free.<br />

Jambo la pili, maoni tunataka kuchukua kwa kutoka kila mtu, wazee, wamama, vijana, walemavu na watu wa aina yote. All the<br />

diversities zenye muko nazo hapa. Tunataka mchanganyiko wa watu wote na wakati mtu anazungumza tunasema tunataka tuwe<br />

na uvumilivu. Usisikie mtu anasema mambo hukubaliani nayo, uanze kupiga kelele. Mpatie nafasi aseme yake, amalize na wakati<br />

6

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!