verbatim report of - ConstitutionNet
verbatim report of - ConstitutionNet
verbatim report of - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
mamlaka kinyume cha sheria ambapo haistahili.<br />
Maoni yangu ya tatu, yahusika na uchumi. Uchumi wa nchi yetu unatakikana uwe na Commission ya kusimamia uchumi ili<br />
uchumi wetu ujulikane utakuwa kwa njia gani. Katika Commission hiyo ichukue wataalamu, ma-engineer, wanaviwanda<br />
wachague chairman wao katika hiyo committee.<br />
Maoni yangu kwa upande wa elimu, ningependa serikali ianzishe ushuru wa elimu kwa wakenya wote walio na uwezo kufanya<br />
kazi ili serikali ipate pesa za kulipa walimu na kutengeneza majengo ya shule na vitu vingine bila kutegemea harambee.<br />
Maoni yangu ya tano yanahusiana na Commission zote zinazoundwa. Commissioner ya uchaguzi, Commission ya Katiba,<br />
ziunganishwe zikuwe Commission moja ili ziweze kufanya kazi pamoja kama Commissions zinazoangalia masilahi ya sheria za<br />
nchi hii.<br />
Uhuru wa vyama vya wafanyikazi; Vinatakiwa vikuwe vya kujitegemea. Visiingiliwe na wanasiasa au viongozi wowote wa<br />
serikali, ndio viweze kutetea wafanyikazi kwa njia ipasavyo.<br />
Maisha ya ndoa na watoto, wanaume na wanawake wasiwachwe waishi bila ndoa ya halali na wasipewe nafasi ya kuzaa<br />
watoto kiholela kwa sababu hiyo inaleta wanaume wengi kuzaa na wanawake bila kuwaoa halafu wanasababisha watoto<br />
ambao hawana malezi mema. Ningependa Katiba mpya itunge sheria ya kuwalinda wanawake kutotakana na wanaume<br />
wanaowanyanyasa baada ya kuona hawawapendi. Wanawaacha wakiteseka na watoto, na hakuna sheria inayolinda<br />
wanawake kama hao na watoto kama hao.<br />
Namaliza maoni yangu nikisema kwamba, sehemu ambazo zinamanufaa ya vitu fulani vya kiuchumi kama vile sehemu zenye<br />
kulimwa mahindi ingekuwa ni bora viwanda vya kusiaga mahindi na store za kuweka mahindi hayo, zijengwe huko kunakotoka<br />
mazao hayo. Zisijengwe mjini ambapo hazitafaidisha watoto wa wakulima wa hivyo vitu. Ambapo itawabidi waende tena<br />
kutafuta kazi sehemu ambazo hizo vitu zilipandwa na wababa yao hazipandwi. Hiyo ikiwa utapeleka viwanda hizo huko,<br />
kunapopandwa hizo vitu, itapunguza mminiko wa vijana mjini. Maoni yangu yanafikia hapo na ninawashukuru sana.<br />
Com. Nunow: Asante sana kwa maoni yako, ujiandikishe hapa. Christopher Omasaba? A.K Olukosi.<br />
A . K Olukosi: Thank you very much for the work you are doing. I wish to participate by contributing my proposals. I think<br />
this Constitution Review Commission is doing a very wonderful job and I congratulate you. The Constitution <strong>of</strong> any nation is,<br />
must, should and always be pivotal (inaudible) center <strong>of</strong> life and force <strong>of</strong> law <strong>of</strong> that nation above every thing else as the sun is<br />
to the universe. The Constitution <strong>of</strong> the Republic <strong>of</strong> Kenya should, in keeping with the fundamentally basic universal norm,<br />
therefore, be defined, designed and made in such a manner that strictly forbids and prevent any care free egocentric parochially<br />
selfish adulteration <strong>of</strong> the document through uncalled for subjective amendments.<br />
48